Month: February 2018
Waziri akemea uvujishaji wa siri za Serikali
Halmashauri zatakiwa kuanzisha Maduka ya Dawa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo akizungumza na wananchi katika ufunguzi wa duka maalum la dawa Kisarawe.
Mganga Mkuu wa wilaya ya Kisarawe akitoa maelezo […]
Miradi ya Maendeleo kufanyiwa mapitio ya Kimkakati
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo (Aliyesimama Mbele) akizungumza na wajumbe wa Kikao kazi cha kujadili mpango wa utekelezaji wa miradi ya LDGD
Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Mhandisi […]
Waziri Jafo Awapa Dozi Nzito Maofisa Elimu Nchi Nzima
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Makatibu Tawala wasaidizi Elimu, Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mipango wa Mikoa, Wakaguzi wa ndani wa Hesabu,na Maafisa Elimu Wilaya kutoka Mikoa 26 Tanzania Bara mjini Dodoma leo
Mganga Mkuu Kituo cha Afya Mtimbira apongezwa
Ujenzi wa Korido ya Kituo cha Afya Mtimbira ukiendelea.
Na. Mwandishi wetu Malinyi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Marceline Ndimbwa amempongeza Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Mtimbira kwa kusimamia vizuri ujenzi na ukarabati wa Kituo cha Afya Mtimbira.
Aliyasema hayo wakati wa ziara yake ya kukagua ukarabati na ujenzi unaoendelea katika Kituo hicho cha Afya lengo likiwa ni kujiridhisha […]
Geita DC yapitisha Bilioni 77.6 Mwaka wa fedha2018/2019
Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Geita limepitisha makadirio ya bajeti ya matumizi ya mwaka wa fedha 2018/2019 kiasi cha shilingi bilioni 77,673,234,821. Ikiwa ni ongezeko la shilingi bilioni 1,173,780,082.13sawa na asilimia 1.5 %kutoka katika bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 kiasi cha shilingi bilioni 76,499,454,738.87, iliyotengwa.
Akisoma bajeti hiyo mbele ya kikao Mweka Hazina Wilaya ya Geita ndugu Rumoka E Buholela kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita amesema katika bajeti hiyo shilingi bilioni 18,040,010,550/= ambazo […]
RITA Watua Simiyu, Watoto Chini ya Miaka 5 Kupatiwa Vyeti
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) Bi.Emmy Hudson akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ufunguzi wa Semina ya Viongozi hao yenye lengo la kuwapa uelewa wa kina juu ya mpango maboresho ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, iliyofanyika jana Mjini […]
RC Mtaka, Ataka Bil.44 Sekta ya Afya Mkoani humo kutoa matokeo Chanya
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka akizungumza na viongozi, watendaji katika Sekta ya Afya pamoja na wadau mbalimbali wa Afya mkoani humo katika kikao maalum kilichofanyika kwa lengo la kutathmini mchango wa wadau wa Afya(mashirika mbalimbali yanayofanya kazi na mkoa huo) ambacho kilichofanyika Mjini Bariadi.
Na Stella Kalinga, Simiyu
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka wadau na […]