Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mhe. George Kakunda, akisikiliza na kufuatilia kwa umakini onyesho la umahiri wa wanafunzi katika somo la Fizikia.
Na Fred Kibano
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mhe. George Kakunda, amewaasa wanafunzi wa kike katika shule za sekondari nchini kusoma […]
Month: July 2018
KAKUNDA AAGIZA TARURA KUJENGA BARABARA ZA VIVUTIO VYA UTALII
Na. Fred Kibano
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mhe. George Kakunda, ameuagiza Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kuweka mipango ya kuboresha barabara zote zinazoelekea kwenye vivutio vya utalii nchini ili kuvitangaza na kuinua uchumi.
Mhe. Kakunda ameyasema hayo leo wilayani Mufindi mkoani Iringa wakati akifunga mashindano ya mchezo wa golf uliofikia kilele katika viwanja vya Unilever Mufindi kama sehemu ya maadhimisho ya utalii yajulikanayo kama UTALII KARIBU KUSINI yaliyozinduliwa mapema […]
TARURA yapongezwa kwa usimamizi mzuri wa ujenzi daraja la Chipanga
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo akisikiliza maelezo ya Mkuu wa Wilaya ya Bahi Bi. Elizabeth Kitundu wakati alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo ya miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Jijini Dodoma. wakati alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya […]
JAFO ataka takwimu sahihi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo akisistiza umuhimu wa matumizi sahihi ya takwimu nchini wakati akifungua kikao kazi cha kutambulisha mfumo wa Kielekroniki wa rejista ya wakazi kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Angela Msimbira OR-TAMISEMI
Imeelezwa kuwa utumiaji wa takwimu sahihi ni msingi mkuu wa kuwezesha kupanga mipango na […]
Wakandarasi wa barabara wanapaswa kusimamiwa – Jafo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akionyeshwa ramani ya mpangilio wa miundombinu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo kwenye ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miundombini ya Barabara, Stendi na Soko inayotekelezwa na Halmashauri ya jiji la Dodoma.
Angela Msimbira OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi Ofisi ya […]
Jafo awataka Temeke Kukamilisha miradi ya Dmdp kwa Ubora
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo(katikati) akikagua ujenzi wa Soko la Kijichi lenye uwezo wa kubeba wafanyabiashara 200 linajengwa kupitia Mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dmdp) chini ya OR TAMISEMI
Continue Reading
Kandege awapongeza wananchi wa Kata ya Lubanda
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Josephat Sinkamba Kandege akikagua moja ya jengo la kituo cha afya cha Lubanda, Wilayani
Angela Msimbira OR –TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Josephat Sinkamba Kandege amewapongeza wananchi wa Kata ya Lubanda Wilayani Ileje kwa kuchangia na kujitolea katika shughuli […]
Kituo cha Afya Ileje kikamilike kwa wakati- Naibu Waziri Kandege
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Josephat Kandege (aliyevaa koti jeupe) akitoka kukagua ujenzi wa kituo cha Afya cha Lubanda kinachoonekana nyuma yake na kuhimiza ujenzi wa kituo hicho ukamilike kwa wakati uliopangwa.
Na. Grace Gwama -Songwe RS
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Josephat Kandege amefanya ziara ya kikazi Wilaya […]
Ramli ya Lamba lamba Yapigwa Marufuku Songwe
Mkuu wa Mkoa wa Chiku Gallawa akizungumza katika kikao cha wadua wa Afya kilichofanyika katika chuo cha Uuguzi Mwambani Mkwajuni-Songwe, Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samwel Jeremia na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ileje Joseph Mkude.
Na. Grace Gwama- Songwe RS
Waganga wote wa jadi wanaopiga ramli chonganishi maarufu kama Lambalamba wamepigwa marufuku kufanya shughuli hizo mkoani […]
Wadau wazidi kuikumbuka TAMISEMI
Mkataba wa makubaliano kati ya TAMISEMI na mradi wa kuimarisha mifumo ya Afya na ustawi wa jamii (CHSSP) unaotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la John Snow Inc (JSI) ikiwa ni pamoja na kupokea fomu namba 3 ambayo itatumika kwa ajili ya kutoa taarifa jumuishi ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ulipokuwa ukisainiwa
Na. Zulfa Mfinanga na Magdalena Stanley
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI […]