Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi Isenga D (hawapo pichani) iliyopo Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza na kutoa maagizo ya Serikali alipofanya ziara shuleni hapo jana. Kushoto kwake ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Warioba Sanya na Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Michael Ligola
Category: Elimu
Serikali kuajiri walimu 6000 mwaka huu
Na Mathew Kwembe, Chemba
Serikali imesema kuwa mwaka huu inatarajia kuajiri walimu wapya 6000 wa masomo ya Sayansi na Hesabu ambapo tayari kibali cha kuwaajiri walimu hao kimekwishatolewa.
Aidha Serikali inakusudia kuwapeleka walimu 11,000 wa masomo ya sanaa ambao ni wa ziada waliokuwa wakifundisha shule za sekondari kufundisha shule za msingi ili kukabiliana na upungufu wa walimu unaozikabili shule za msingi nchini.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia elimu Mhe.Mwita Waitara ameyasema hayo jana katika Wilaya […]
Majina ya Wanafunzi Kidato cha Kwanza 2019 Mikoa ya Tanzania
Mkoa wa Kilimanjaro
http://www.kilimanjaro.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-mkoa-wa-kilimanjaro-wasichana
Mkoa wa Katavi
www.katavi.go.tz/advertisement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-mkoani-katavi
Mkoa wa Geita
http://www.geita.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-mwaka-2019-mkoa-wa-geita
Mkoa wa Songwe
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-kutoka-mkoani-songwe-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-shule-za-vipaji
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-wilayani-mbozi
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-wilayani-ileje
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-wilayani-songwe
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-halmashauri-ya-tunduma
http://songwe.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-halmashauri-ya-momba
Mkoa wa Pwani
http://www.pwani.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-mwaka-2019-mkoa-wa-pwani
Mkoa wa Arusha
http://www.arusha.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-2019
Mkoa wa Lindi
http://www.lindi.go.tz/announcement/orodha-ya-wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-mwaka-2019-mkoa-wa-lindi
Mkoa wa Simiyu
http://www.simiyu.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-mwaka-2019-simiyu
Mkoa wa Mbeya
http://www.mbeya.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-kidato-cha-kwanza-2019-mkoa-wa-mbeya
Mkoa wa Singida
http://www.singida.go.tz/announcement/wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-2019-mkoa-wa-singida
Mkoa wa Ruvuma
http://www.ruvuma.go.tz/announcement/mtihani-wa-darasa-la-saba-2018 na Shule walizopangiwa
Mkoa wa Mtwara
http://www.mtwara.go.tz/announcement/orodha-ya-wanafunzi-waliochaguliwa-kujiunga-na-kidato-cha-kwanza-mwaka-2019
Mkoa wa DSM
http://www.dsm.go.tz/announcement/dar-es-salaam-yashika-nafasi-ya-kwanza-kitaifa-katika-matokeo-ya-darasa-la-saba-2018
Waweka Hazina halmashauri Waaswa kuacha ubadhirifu wa miradi
Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda akiongea na baadhi ya Viongozi wa halmashahuri ya wilaya Ikungi kuhusu miradi ya maendeleo. Pia alitoa maelekezo ya Serikali kwa halmashauri zote nchini.
Na. Fred Kibano
Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini pamoja na Waweka Hazina kuacha kuchepusha fedha za […]
Fanyeni Maandalizi ya Kuwapokea Kidato cha Kwanza 2019
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda akikagua maabara ya kemia katika shule ya sekondari Kimadoi, halmashauri ya Itigi mkoani Singida
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU)Tixon Nzunda akiongea na Viongozi na watumishi wa Halmashauri […]
Msiwaadhibu Walimu kwa Matokeo Mabaya ya Wanafunzi – Nzunda
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda akitoa maagizo ya Serikalikwa Viongozi wa Elimu mkoani Kigoma. Kulia kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa Kigoma Rashid Mchata na kushoto ni Afisa Elimu Mkoa wa Kigoma Juma Kaponda
Na Fred Kibano
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Tixon Nzunda amewataka Viongozi katika Mikoa, Mamlaka za Serikali […]
Nzunda Aagiza Kuacha Vitendo vya Udanganyifu Mitihani Kidato cha Nne
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI akikagua baadhi ya madarasa katika shule ya sekondari ya wasichana Kibondo wilayani Kibondo mkoani Kigoma. Kushoto kwake ni Mkuu wa shule hiyo Bi. Ruth Msweth
Na. Fred Kibano
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Tixon Nzunda ametoa maagizo kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Watendaji wa Elimu na Mamlaka za Elimu nchini kusimamia taaluma […]
“OPRAS Iwe nyenzo ya Mikataba ya Utendaji kazi” Nzunda
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia elimu OR-TAMISEMI Ndugu Tixon Nzunda, akifungua mafunzo ya maafisa elimu kutoka Wilaya na Mkoa wa Singida juu ya mfumo wa upimaji utendaji kazi kwa njia ya wazi OPRAS jijini Dodoma katika ukumbi wa Land Mark (Picha na Atley Kuni- OR-TAMISEMI)
Na. Atley Kuni, OR-TAMISEMI.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa […]
Serikali Yataka Wadau Kuwa na Mtazamo Chanya katika Sekta ya ELimu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) Selemani Jafo akitoa hotuba ya kufunga Mkutawano wa Pamoja wa Mwaka wa Wadau wa Elimu Jijini Dodoma ambapo amewataka Wadau kuendelea Kushirikiana na Serikali Kuboresha Elimu
Continue Reading
Serikali Yataka Wadau Kutumia Takwimu Sahihi yajivunia Mafanikio Sekta ya Elimu
Na Fred Kibano
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amewataka baadhi ya Wadau kuacha kutoa takwimu za uongo hali wakipotosha Umma kwa kuwa zipo Mamlaka kisheria zinazotoa takwimu sahii za Taifa na kwamba atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kisheria.
Prof Ndalichako ameyasema hayo Jijini Dodoma leo wakati akifungua Mkutano wa pamoja wa mwaka kwa Wadau wa Mapitio ya Sekta ya Elimu nchini na kuwataka Wadau hao kuacha mara moja kupotosha jamii kupitia takwimu zisizo halisi.