Dkt. Flora Kessi, Mkuu wa Chuo cha Afya Ifakara, alikwasilisha mada wakati wa kikao hicho cha siku moja kwenye ukumbi wa Edema mjini Morogoro
Na. Atley Kuni- Morogoro
Jopo la Wataalam kutoka Idara Mbali Mbali za Serikali wakiongozwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pamoja na Wizara ya Afya, wanakusudia kuboresha Mitaala ya Vyuo vya elimu ya Afya huku […]
Madiwani Sumbawanga wajinoa suala la Mapato, Usafi, Njombe
Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kutoka katika Manispaa ya Sumbawanga wakiwa kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe mara baada ya kuwasili kwa lengo la kujifunza maswala ya usafi wa mazingira na ukusanyaji mapato. (Aliyesimama) ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Illuminata Mwenda
Hyasinta Kissima- H/W Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe imepokea ugeni wa Waheshimiwa Madiwani wakiwa wameambatana na Wataalamu kutoka katika Manispaa ya […]
Mkurugenzi Kondoa awapa ‘Dozi’ Watendaji
Mkurungezi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa Msoleni Dakawa akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha wakuu wa Idara na Watendaji wa kata na mitaa
Na: Sekela Mwasubila- Kondoa Mji
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa Msoleni Dakawa amewataka watendaji wa kata na mitaa kuyafanyia kazi maagizo yanayotolewa kutoka halmashauri kwani wananchi wana imani nao katika kuwaletea maendeleo.
Aliyasema hayo wakati akifungua kikao kazi kati […]
Serikali kuajiri walimu 6000 mwaka huu
Na Mathew Kwembe, Chemba
Serikali imesema kuwa mwaka huu inatarajia kuajiri walimu wapya 6000 wa masomo ya Sayansi na Hesabu ambapo tayari kibali cha kuwaajiri walimu hao kimekwishatolewa.
Aidha Serikali inakusudia kuwapeleka walimu 11,000 wa masomo ya sanaa ambao ni wa ziada waliokuwa wakifundisha shule za sekondari kufundisha shule za msingi ili kukabiliana na upungufu wa walimu unaozikabili shule za msingi nchini.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia elimu Mhe.Mwita Waitara ameyasema hayo jana katika Wilaya […]
Waziri Mkuu Majaliwa kufungua Mkutano wa Maafisa Ustawi wa Jamii
Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais TAMISEMI, Rashid Maftaha.
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kufungua mkutano wa siku tatu wa maafisa ustawi wa jamii mikoa 26 na halmashauri zote nchini wenye lengo la kujadili utendaji kazi, utoaji huduma za ustawi wa jamii na mifumo ya utendaji kazi.
Akizungumza na habarileo jijini hapa, Mkurugenzi Msaidizi wa […]
Ushirikiano wa Viongozi na Watumishi Utaboresha Huduma kwa Wananchi
Na Majid Abdulkarim na Fred Kibano
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo akitoa hotuba wakati wa hafla ya kuwaaga Viongozi na kuwakaribisha Viongozi wapya wizarani OR TAMISEMI Jijini Dodoma
Baadhi ya watumishi wa OR TAMISEMI wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Mhe. […]
Kwa Heri Mhandisi Iyombe Tutakukumbuka
Na Fred Kibano
Katibu Mkuu Mstaafu OR TAMISEMI (kushoto) Mhandisi Mussa Iyombe akimkabidhi baadhi ya nyaraka za makabidhiano Katibu Mkuu OR TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga katika ofisi za OR TAMISEMI Jijini Dodoma
Baadhi ya Viongozi wa OR TAMISEMI wakishuhudia makabidhiano ya ofisi ya Katibu Mkuu OR TAMISEMI Jijini […]
TAMISEMI yaandaa mwongozo mpya wa usimamizi wa mapato kwa Halmashauri
Na Mathew Kwembe
Serikali imesema kuwa mwongozo mpya wa ukusanyaji mapato katika halmashauri unalenga kuongeza wigo wa makusanyo ya mapato kwa kuwatoza watu wengi badala ya wachache na hivyo kuziwezesha halmashauri kukusanya mapato mengi zaidi.
Kauli hiyo imetolewa jana na Mratibu wa Mradi wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi Beatrice Njawa mara baada ya ufunguzi wa kikao cha kujadili Mwongozo wa Usimamizi Ukusanyaji Mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi […]
Dkt. Gwajima Awaasa Watumishi Kuzingatia Sera ya Ugatuaji katika kazi zao
Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Dorothy Gwajima akiongea na watumishi wa kada ya afya Ofisi ya Rais TAMISEMI kuhusu utoaji wa hiuduma za afya kwa Watanzania kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Taifa
KARIBU OR […]
Uboreshaji wa Huduma za Afya Msingi Nchini